Skip to content

Ladha ya Maji ni Kata….

  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili
  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili

Month: May 2011

Nacha

Nayacha macho ya wachwa, pale zama yachunzapo
Nayacha kucha na kuchwa, yachecheapo nilipo
Nayo yakijua yachwa, ndo uchunzi uzidipo
Nacha sitachapo kucha, yachwayo nami nayacha Continue reading “Nacha”

Author kinawenyewePosted on May 26, 2011Categories Ushairi1 Comment on Nacha

Nazingwa

Nazingwa ni ndugu zangu, wasonijua nilipo
Waumia kwa uchungu, kila wanikumbukapo
Waniombea kwa Mungu, mafanikio na pepo
Numonumo ndilo langu, tenda, tarudia kuko. Continue reading “Nazingwa”

Author kinawenyewePosted on May 24, 2011Categories UshairiLeave a comment on Nazingwa

Hunifai

Wanitaka niwe wako, ati wa ubani
Niwe wako mali yako, niwewo mwandani
Siliwezi penzi lako, sebu abadani
Bora kaa peke yako, uwe mbali nami Continue reading “Hunifai”

Author kinawenyewePosted on May 18, 2011Categories UshairiLeave a comment on Hunifai

Ni Lipi Kosa Langu?

Karima ni Mola wangu, uwezo kunijalia
Huu si uwezo wangu, kipaji kutunikiwa
Kutupa kalamu yangu, hekima kuwapatia
Ni lipi kosa langu, dharau kutunikiwa? Continue reading “Ni Lipi Kosa Langu?”

Author kinawenyewePosted on May 18, 2011Categories UshairiLeave a comment on Ni Lipi Kosa Langu?

Hamkani

Dhoruba hii hakika, huchukua na kuzoa
Kwa wenye kubahatika, na kwa kipaji Jalia
Seuze wa tikatika, na wale mazoa zoa
Nani atabakia? Continue reading “Hamkani”

Author kinawenyewePosted on May 17, 2011Categories UshairiLeave a comment on Hamkani

Salata

Uliniahidi, kwamba wenipenda ‘tanitumikia
Ukaitakidi, kuwa ‘tanilinda na kunitetea
Iwapi ahadi, mbona kushapinda wanigeukia? Continue reading “Salata”

Author kinawenyewePosted on May 15, 2011Categories UshairiLeave a comment on Salata

Kata’ani

Haiwi!
Na wala haitokuwa
Kata’ani nakataa

Kuonewa!
Kubugudhiwa!
Kusulubiwa!
Kamwe haitokuwa Continue reading “Kata’ani”

Author kinawenyewePosted on May 15, 2011Categories UshairiLeave a comment on Kata’ani

Posts navigation

Page 1 Page 2 Next page

Tafuta

Andamo

Machozi Yamenishiya

Kurasa Mpya

Siwachi Kusema

N’na Kwetu

Kalamu ya Mapinduzi

Changi N’Kuchangizana

Maktaba

  • September 2019
  • May 2019
  • December 2018
  • March 2018
  • April 2017
  • March 2017
  • February 2017
  • January 2017
  • October 2016
  • September 2016
  • August 2016
  • July 2016
  • June 2016
  • May 2016
  • April 2016
  • March 2016
  • February 2016
  • January 2016
  • December 2015
  • November 2015
  • September 2015
  • August 2015
  • June 2015
  • May 2015
  • April 2015
  • October 2014
  • September 2014
  • July 2014
  • June 2014
  • April 2014
  • March 2014
  • February 2014
  • January 2014
  • September 2013
  • March 2013
  • February 2013
  • January 2013
  • December 2012
  • November 2012
  • September 2012
  • July 2012
  • April 2012
  • February 2012
  • January 2012
  • December 2011
  • November 2011
  • October 2011
  • September 2011
  • July 2011
  • June 2011
  • May 2011
  • April 2011
  • October 2008
  • February 2007

Za Karibuni

  • Kiswahili kina wenyewe, kienee lakini kisitokomee
  • Kibaruwa
  • Sahihi ni Ipi: Sala au Swala?
  • TUPO: Diwani ya Tungo Twiti
  • Kilio cha Usumbufu: Diwani mpya ya Kiswahili inayoangazia majanga ya kijamii

Maoni

Lazarus Nyikuri on Kibaruwa
Litrus m.musee on ‘Mgogoro’ katika u…
kellezasymore on N’na Kwetu: Sauti ya Mge…
kellezasymore on Wapi neno mwanana hutumik…
Nyundo Mbarak on Machozi Yamenishiya: Diwani ya…

Weka anwani yako ya barua pepe hapa uanze kupokea makala zetu.

Join 9,642 other followers

Follow on WordPress.com
  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili
  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili
Blog at WordPress.com.
Cancel