Skip to content

Ladha ya Maji ni Kata….

  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili
  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili

Month: June 2011

Kake Njoo Nyumbani

Kake njo’vyo nyumbani, uje uone rahaye
Uje wende forodhani, na shamba utembeleye
Usikie waadhini, mbio uwakimbiliye
Bi mama akutamani, na wana usikisiye
Njoo kake njoo, njoo ututembeleye Continue reading “Kake Njoo Nyumbani”

Author kinawenyewePosted on June 26, 2011Categories UshairiLeave a comment on Kake Njoo Nyumbani

Nataka Nende Nyumbani

Nataka nende nyumbani, haone wangu wavyele
Haanze walo Ziwani, Shengejuu hadi Ole
Hashibishe zao mboni, nami moyo utulile
Mola wangu niauni, lengo langu nifikile Continue reading “Nataka Nende Nyumbani”

Author kinawenyewePosted on June 14, 2011Categories Ushairi2 Comments on Nataka Nende Nyumbani

Utamu Wake Shairi – Jawabu 1

Kwa jinalo Rahmani, Mola wetu Msifika
Naomba uniauni, kwa hili ninalotaka
Naingia utungoni, mchango wangu kuweka
Unipe njema lisani, mazuri kuyatamka Continue reading “Utamu Wake Shairi – Jawabu 1”

Author kinawenyewePosted on June 8, 2011Categories UshairiLeave a comment on Utamu Wake Shairi – Jawabu 1

Utamu Wake Shairi (Suali)

Nataka uliza swali, kuwauliza malenga
Wa karibu na wa mbali, wakomavu na wachanga
Musemao Kiswahili, kiarabu na kimanga
Ipi tamu ya shairi, tungoni inovutiya? Continue reading “Utamu Wake Shairi (Suali)”

Author kinawenyewePosted on June 7, 2011Categories Ushairi1 Comment on Utamu Wake Shairi (Suali)

Tafuta

Andamo

Machozi Yamenishiya

Kurasa Mpya

Siwachi Kusema

N’na Kwetu

Kalamu ya Mapinduzi

Changi N’Kuchangizana

Maktaba

  • September 2019
  • May 2019
  • December 2018
  • March 2018
  • April 2017
  • March 2017
  • February 2017
  • January 2017
  • October 2016
  • September 2016
  • August 2016
  • July 2016
  • June 2016
  • May 2016
  • April 2016
  • March 2016
  • February 2016
  • January 2016
  • December 2015
  • November 2015
  • September 2015
  • August 2015
  • June 2015
  • May 2015
  • April 2015
  • October 2014
  • September 2014
  • July 2014
  • June 2014
  • April 2014
  • March 2014
  • February 2014
  • January 2014
  • September 2013
  • March 2013
  • February 2013
  • January 2013
  • December 2012
  • November 2012
  • September 2012
  • July 2012
  • April 2012
  • February 2012
  • January 2012
  • December 2011
  • November 2011
  • October 2011
  • September 2011
  • July 2011
  • June 2011
  • May 2011
  • April 2011
  • October 2008
  • February 2007

Za Karibuni

  • Kiswahili kina wenyewe, kienee lakini kisitokomee
  • Kibaruwa
  • Sahihi ni Ipi: Sala au Swala?
  • TUPO: Diwani ya Tungo Twiti
  • Kilio cha Usumbufu: Diwani mpya ya Kiswahili inayoangazia majanga ya kijamii

Maoni

Lazarus Nyikuri on Kibaruwa
Litrus m.musee on ‘Mgogoro’ katika u…
kellezasymore on N’na Kwetu: Sauti ya Mge…
kellezasymore on Wapi neno mwanana hutumik…
Nyundo Mbarak on Machozi Yamenishiya: Diwani ya…

Weka anwani yako ya barua pepe hapa uanze kupokea makala zetu.

Join 9,642 other followers

Follow on WordPress.com
  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili
  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili
Blog at WordPress.com.