Skip to content

Ladha ya Maji ni Kata….

  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili
  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili

Month: January 2013

Zenji Nalia Wat’ani

Sauti yanikauka, kuililia watani
Machozi yapukutika, pukupuku mashavuni
Kifua chatatalika, chakatikia kwa ndani
Kwa kulilia watani Continue reading “Zenji Nalia Wat’ani”

Author kinawenyewePosted on January 28, 2013Categories Ushairi5 Comments on Zenji Nalia Wat’ani

Mcheza Kwao

Kucheza tucheze kwetu, kwetu tulikozaliwa
Kunako wazazi wetu, wazazi waheshimiwa
Heshima asili yetu, tuiombe tutapewa Continue reading “Mcheza Kwao”

Author kinawenyewePosted on January 25, 2013Categories UshairiLeave a comment on Mcheza Kwao

Chawa Sasa Uondoke!

Chawa sasa huna budi , uniondoke kichwani
Uwe na mimi baidi, japo kuwa umachoni
Nafanya hivi kusudi, kunusuru langu ini
Chawa uuke kichwani ijapo umeshitadi Continue reading “Chawa Sasa Uondoke!”

Author kinawenyewePosted on January 21, 2013Categories UshairiLeave a comment on Chawa Sasa Uondoke!

Tabasamu

Mweledi wa tabasamu, hebu nitabasamiye
Uniondoshee ghamu, moyo wangu utuliye
Lako wewe ni adimu, sijaona mfanowe Continue reading “Tabasamu”

Author kinawenyewePosted on January 17, 2013Categories UshairiLeave a comment on Tabasamu

Kituko cha Mwaka Mpya

Nealikwa watuningwa, kwenda kusherehekea
Sherehe ya mwaka mpya, huu ulioingia
Hafikwa ni ya kufikwa, hapa tawasimulia Continue reading “Kituko cha Mwaka Mpya”

Author kinawenyewePosted on January 1, 2013Categories Ushairi2 Comments on Kituko cha Mwaka Mpya

Tafuta

Andamo

Machozi Yamenishiya

Kurasa Mpya

Siwachi Kusema

N’na Kwetu

Kalamu ya Mapinduzi

Changi N’Kuchangizana

Maktaba

  • September 2019
  • May 2019
  • December 2018
  • March 2018
  • April 2017
  • March 2017
  • February 2017
  • January 2017
  • October 2016
  • September 2016
  • August 2016
  • July 2016
  • June 2016
  • May 2016
  • April 2016
  • March 2016
  • February 2016
  • January 2016
  • December 2015
  • November 2015
  • September 2015
  • August 2015
  • June 2015
  • May 2015
  • April 2015
  • October 2014
  • September 2014
  • July 2014
  • June 2014
  • April 2014
  • March 2014
  • February 2014
  • January 2014
  • September 2013
  • March 2013
  • February 2013
  • January 2013
  • December 2012
  • November 2012
  • September 2012
  • July 2012
  • April 2012
  • February 2012
  • January 2012
  • December 2011
  • November 2011
  • October 2011
  • September 2011
  • July 2011
  • June 2011
  • May 2011
  • April 2011
  • October 2008
  • February 2007

Za Karibuni

  • Kiswahili kina wenyewe, kienee lakini kisitokomee
  • Kibaruwa
  • Sahihi ni Ipi: Sala au Swala?
  • TUPO: Diwani ya Tungo Twiti
  • Kilio cha Usumbufu: Diwani mpya ya Kiswahili inayoangazia majanga ya kijamii

Maoni

Lazarus Nyikuri on Kibaruwa
Litrus m.musee on ‘Mgogoro’ katika u…
kellezasymore on N’na Kwetu: Sauti ya Mge…
kellezasymore on Wapi neno mwanana hutumik…
Nyundo Mbarak on Machozi Yamenishiya: Diwani ya…

Weka anwani yako ya barua pepe hapa uanze kupokea makala zetu.

Join 9,642 other followers

Follow on WordPress.com
  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili
  • Fasihi
  • Isimu
  • Ushairi
  • Darasani kwa Mwalimu Abdilatif
  • Wasaa wa Mswahili
Blog at WordPress.com.