Ya Rabbi nifungulia, milango yako nipite
N’ende unakokujua, siri na jahari zake
Lengo langu walijua, niauni nilipate
Ikiwa kuna ubaya, niepusha un’epuke Continue reading “Milango Yako Yaa Rabbi”
Month: January 2014
Mvuvi
Ndimi mvuvi halisi, kulla vuvi nalijuwa
Nivuwaye mikambisi, na papa wenye khatuwa
Wala sivui vingisi, mishipi haisumbuwa
Nimekwambiya elewa Continue reading “Mvuvi”