Nasikia mwasemani, mungalijinong’onea
Nasikia kwa yakini, njama mnonipangia
Nasikia tambueni, kama mwataka nibwia
Mwanong’ona kitu gani, na yote nayasikia? Continue reading “Mwanong’ona jambo gani?”
Nasikia mwasemani, mungalijinong’onea
Nasikia kwa yakini, njama mnonipangia
Nasikia tambueni, kama mwataka nibwia
Mwanong’ona kitu gani, na yote nayasikia? Continue reading “Mwanong’ona jambo gani?”